Mwanamke mwenye hijabu Ufaransa ashambuliwa

IQNA

Kundi la watu wanaopiga vita Uislamu nchini Ufaransa limemshambulia mwanamke mmoja Muislamu aliyekuwa na vazi la hijabu na kumjeruhi vibaya.
Habari ID: 1309362    Tarehe ya kuchapishwa : 2013/11/03